Posts

Showing posts from September, 2018

Mwaka mmoja wa Mwenyekiti wa UVCCM (w) maswa.

Image
Ni mwaka mmoja sasa tangu uchaguzi wa Chama NA jumuia Ngazi ya wilaya NA kukamilika kwa safu ya uongozi kwa ngazi ya wilaya NA jumuia zake, Naam nilipata dhamana kubwa ya kuiongoza jumuia ya Vijana wenzangu kwa ngazi ya wilaya nikipata heshima ya kuwa Mwenyekiti uchaguzi uliokuwa wa Uhuru NA haki. Jumuia ya Vijana ni jumuia ambayo imebeba Leo yao NA kesho yao kwa vijana tunajitahidi sana kuyasemea mahitaji yao. NA pia kuzitatua changamoto zao kazaa, ikiwemo Ajira, Elimu, ujasiriamali, Mikopo vyuo na vyuo vikuu uwezeshwaji wa vijana hasa kupitia miradi yao kama MBOs, NGs, na hasa uwezeshwaji wao wa mikopo nafuu Kutoka halmashauri yetu ya Maswa. Lakini katika kipindi hiki cha mwaka mmoja tumeendelea kuwafikia vijana wenzetu hasa kupitia ziara ambapo tunapata nafasi ya kuwasikiliza kuwashauri na kuwajengea uwezo na kuwapa Hamasa ya kuyakabiri MAISHA ndani ya Chama na MAISHA ya kawaida nje ya Chama ( we are  empowering them and sensitizes, for their self awareness) ili kupata vijana s...