Posts

Showing posts from January, 2019

ZIARA YA KATIBU MKUU WA CCM MASWA MKOANI SIMIYU YALETA NEEMA UKAMILISHWAJI WA JENGO LA KITEGA UCHUMI LA CCM. NYONGO ASHITUKIZA HARAMBEE

Image
Ziara ya katibu mkuu wa  chama cha mapinduzi CCM Taifa  Dr Bashiru Ally mkoani Simiyu Imetamatika katika wilaya ya Maswa ambapo pamoja na Mambo mengine Dr. Bashiru Ally aliweza kusimika Jiwe la  Msingi la  ujenzi wa  jengo la  kitega uchumi. na kuwahutubia mamia ya wanachama wa  CCM waliojitokeza kwa wingi kumraki na kumsikiliza katibu mkuu wa   CCM . katika hatua nyingine Mbunge wa Maswa  Mashariki na Naibu waziri wa  Madini Mheshimiwa Stanslaus . H. Nyongo alipopata wasaa wa  kusalimia aliweza kuhamasisha Harambee ya Papo kwa hapo   ili kukamilisha baazi ya mahitaji ya Jengo hilo Ambapo Mheshimiwa nyongo akiwa kama katibu wa  wabunge wa mkoa wa  simiyu aliwaita wabunge wote   waliokuwepo na akawaomba wamchangie chochote kwaajili ya ukamilishaji waa jengo hilo . Mhe   Nyongo alitoa mifuko 100 ya cement, na wabunge wote   walichangia Bati 150  wak...