SIMANZI
UVCCM Maswa tumepokea Taarifa ya simanzi ya ajari Mbaya ya gari iliyokuwa katika msafara wa mkuu wa mkoa Mwanza wakitokea ukelewe kupitia bunda ambapo wakiwa Busega gari iliyokuwa na waandishi wa Habari kugongana uso kwa uso na kusababisha vifo vya Raia 14 wakiwemo wandishi kazaa. Roho za Marehemu zipumuzike kwa amani. Masaga Paul Mwenyekiti wa UVCCM wilaya ya Maswa.