UONGOZI HAUJI, KWA KUUSOTEA NA KUUFANYIA MAANDALIZI, HUJA KWA MPANGO WA MUNGU HASWA HUPEWA MSIOWATARAJIA.
Ndugu zangu nawasalimia Kwa jina la Jamhuri ya muungano wa Tanzania.. hakika KAZI IENDELEE Ndugu zangu Kwa hasa vijana niseme tu uongozi haufanyiwi maandalizi eti uje ukuwa kiongozi baadae isipokuwa uongozi huja Kwa namna MUNGU wako alivyofanya maagano na wewe Bila hata wewe kujua, walio wengi hufanya maandalizi flani flani Kwa Maana ya kujipanga mwisho wa siku Huwa wanaanguka na kutokufikia lengo, sababu ya Msingi ni kwamba unapoanza maandalizi hayo lazima utaanza Mikakati ya kuwaangusha waliokatika nafasi hiyo, ambapo utawaundia kamati, Bila kujua kamati hizohizo ulizoziunda wewe au marafiki hubadirika na kuwa kamati ya kukushambilia kukuangusha wewe kisirisiri Maana utawazidi, Bila wewe kujua mwishowe unakuja kuanguka mbele yao mliokuwa nao. Ushauri wangu uongozi humfuata mtu na sio mtu kuufuata uongozi, ishi katika hali ya kawaida, malengo yako si dhambi ukabaki nayo moyoni kama Siri yako na asiijue mtu madam Muda sahihi ukifika hakuna wa kukuzuia MUNGU husimama katikati yako na ha...