Posts

Showing posts from July, 2019

ASANTE RC MTAKA KWA UAMUZI MZURI WA KUSHUSHA BEI KWA WATEJA WASIO NA MITA ZA MAJI

MKUU WA MKOA WA SIMIYU ASHUSHA BEI YA MAJI MASWA. Mkuu wa mkoa wa Simiyu,Antony Mtaka ameiagiza Mamlaka ya Maji na usafi wa Mazingira mjini Maswa(Mauwasa) kushusha bei ya maji kwa wateja wao wasio na dira(Mita)kutoka sh 25600 hadi Sh 17600 kwa mwezi. Uamuzi huo ameutoa leo ktk viwanja vya Madeco mjini Maswa alipofanya mkutano wa hadhara wa kusikiliza malalamiko ya wananchi juu ya kupanda bei hizo kutoka Sh 5600 hadi Sh 25,600 na utekelezaji huo unaanza mwezi huu. Na Samuel Mwanga _ Maswa

POLENI SANA AMCOs Shinyanga Mwenge_Dakama Maswa kwa Ajari ya moto Kuunguliwa kwa pamba, lakini hakikisheni wanchi mnawalipa kama tu walikuwa wana madai yao.

Nianze kwa kutoa pole kwa Chama cha kushirikiana wilaya ya Maswa mkoa wa simiyu Hasa  vingozi wa amcos Kata ya Dakama kijiji cha Shinyanga mwenge kwa  ajari ya moto Iliyotokea na kusababisha Ghara la  kuhifadhia Pamba kuungua na kusababisha Hasara kwa Amcos ya takribani tan 120000 zilizowaka moto aidha nitoe pole kwa wananchi wa Shinyanga kwa kupoteza rasilimali hii adimu katika maghara lakini Viongozi wa Amcos Shinyanga Mwenge walipeni wanchi kama mliwakopa na mkapima Pamba yao kisha mkaiifadhi kwa kusubiri fedha na ili mwalipe,  kuungua moto maghara yenu ni sawa na ajari zingine lakini mkulima asihusike na Hasara hii kwani yeye   aliihifadhi vyema na akauza kwenu sasa hii ni  yenu viongozi wa AMCOS. Hatuhitaji kusikia wanchi hawajalipwa eti kwa kisingizi cha moto, moto ni  ajari kwenu na Hasara yenu kama Chama cha ushirika. Aidha niwaombe wanchi na vijana wenzetu muwe watulivu na wavumulivu na kuyafuata Yale viongozi wa cham cha ushirika na ser...