Posts

Showing posts from March, 2018

MAANDAMANO YA CHADEMA KUPITIA KWA MANGE KUNAMBI NI HARAMU WASHIRIKI KUKIONA CHA MTEMAKUNI

Na David Maphone. . NI KWA MUJIBU WA SHERIA NA KATIBA YA  JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA , . . Ni vyema tujaribu kuangalia  ni nani anaitisha MAANDAMANO nini kilichoombwa katika hayo MAANDAMANO na nini  kilichozuiwa na POLISI katika hayo MAANDAMANO ?. Pia kuangalia sheria inasemaje kuhusu suala hili. NINI  HAKI AU STAHILI (ENTITLEMENTS) ZA VYAMA VYA SIASA KUHUSU  MAANDAMANO NA MIKUTANO ?: #Sheria za Vyama vya Siasa (Political Parties Act) na za Jeshi la Polisi (Police Force and Auxiliary Services Act) zinatoa stahili ya kufanya mikutano ya hadhara (Public Meetings) na kuongozana (Processions) kwa vyama vya Siasa kwa ajili ya kujitangaza na kutafuta wanachama,  Kifungu cha (4) cha sheria ya vyama kinatoa haki hiyo Lakini Kifungu cha (6) cha sheria hiyo hiyo kinatoa Sharti ili chama kifanye maandamano au mkutano wa Hadhara.'' Chama hakitaruhusiwa kufanya mkutano au Maandamano kama kitapokea AMRI PINGAMIZI kutoka Jeshi la POLISI''. #Pia sheria inatoa ...

TUONGEZE JUHUDI KUFANYA KAZI NA KUMPA USHIRIKIANO RAIS WETU

Image
Nianze kwa kuwapa pole na majukumu mazito kwenu viongozi na watanzania wote popote mlipo kwa kazi na majukum makubwa ya kila siku mnayofanya, hii yote ni katika kuutengeneza mkate wa kila siku na wajibu wako kama sehemu ya kuijenga Tanzania mpya na familia zetu. Sambamba na pole hii niwapongeze kwa kazi nzuri mnazozifanya kuhakikisha tanzania yetu inasonga mbele (SISI NI TANZANIA MPYA). hakuna asiyejua kuwa zama hizi ni zama za kazi na hasa kazi ya kuijenga Tanzania mpya Tanzania ya uchumi wa kati na ya viwanda naomba kusema yafuatayo. ndugu watanzaia wenzangu Tanzania mpya ni Tanzania ambayo watu wake wanapaswa kuwa wazalendo  katika kutimiza majuku yetu ya kila siku kwa nafasi zetu tofauti tofauti ni wajibu wetu kufanya kazi kizalendo ili kutimiza wajibu wetu vizuri wa kuijenga Tanzania mya.  Tanzania tunayo bahati kubwa kuwa miongoni mwa taifa ambalo Rais wake ni Mzalendo anayelipenda taifa lake kwa moyo wake wote na nguvu zake zote zote, anfanya kazi kubwa yeye pa...